Advertise with us here... Contact: 0654 264 472 Email: sabanhussein@yahoo.com sabanhussein@yahoo.com

Latest Posts

Thursday, May 24, 2018

Saturday, October 14, 2017

Naibu Waziri Wizara ya Afya Mhe.Faustine Ndugulile “Mhe. Raisi ametupa maelekezo kusimamia na kuhakikisha hakuna ukosefu wa dawa katika huduma za afya.”

Leo tarehe 14/10/2017 Naibu Waziri wizara ya Afya , maendeleo ya jamii, wazeejinsia  na watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile amefanya uzinduzi wa Zanati ya Pemba Mnazi Kigamboni. Zahanati hiyo pamoja na nyumba moja ya mganga zilizojengwa Kigamboni  kata ya Pemba mnazi katika mtaa wa Pemba...

Thursday, July 27, 2017

PICHA: WAZIRI WA AFYA AMEWAPATIA VITAMBURISHO VYA MATIBABU BURE KWA WAZEE KIGAMBONI

leo tarehe 27/7/2017, Waziri wa Afya, Maendeleo ya jamii, Ustawi wa jamii, jinsia na watoto Mhe. Ummi Mwalimu alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitambulisho vya matibabu bure kwa wazee wa wilaya ya Kigamboni ulifanyika katika viwanja vya hospitali ya Vijibwemi, kigamboni. Mapema asubuhi leo...

Thursday, April 27, 2017

Mitindo: Namna ya kupatia vazi la ripped jeans

Suruali za jeans ndizo suruali pekee ambazo huvaliwa zaidi na kupendwa na watu wengi duniani.  Tukizungumzia jeans kwa kipindi hiki basi usisahau kutaja Ripped Jeans(jeans za kuchanwa chanwa), ambazo zinazidi kuvaliwa kila kukicha na watu. Muonekano wa suruali hii unaweza ukakufanya ustaajabu...

Fahamu: Samaki zebra anayetibu uti wa mgongo.

Watafiti kutoka Marekani wamebaini aina ya samaki aitwae Zebra Fish, ambaye anaweza kuzalisha upya, uti wake wa mgongo wa mwanadamu unapovunjika. Watafiti hao wamesema kuwa samaki huyo ana uwezo wa kulizalisha upya uti wa mgongo unapovunjika kwa kuziunganisha kama daraja, sehemu zilizokatika kwa...

Samatta aisaidia Genk kuwania tiketi ya UEFA mwakani

Mchezaji tegemezi katika kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania na klabu ya KRC Genk, Mbwana Ally Samatta, amesaidia klabu yake ya Genk kutoka na suluhu ya goli 1-1 dhidi ya kikosi cha AS Eupen mchezo uliochezwa katika Uwanja wa Kehrweg mjini Eupen, ikiwa ni mchezo wa Kundi B kuwania tiketi ya kucheza...

Total Pageviews

Popular Posts

Unordered List

http://michuzijr.blogspot.com/2013/03/party-kubwa-ya-pasaka-kudondoshwa.html

Flickr Images

Follow Us

Bin Hussein65 copyright 2014. Powered by Blogger.

Translate

Followers

Search This Blog