Pages

Friday, April 26, 2013

SHEREHE ZA MUUNGANO, UWANJA WA TAIFA DAR ES SALAAM.

Leo ni maadhimisho ya sherehe za muungano kati ya tanganyika na zanzibar uliozaa nchi ya tanzania..ni shamrashamra hapa uwanjani, rais wa jamhuri ya muungano anawaongoza watanzania katika tukio hili mh; na la kihistoria..

Katika Picha:

                                 Mh. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwapungia mkono wananchi...

                              Gwaride....

                                Ndege za kivita zikipita kutoa heshimu, juu ya anga ya uwanja wa taifa...

                               .......

No comments:

Post a Comment