Pages

Wednesday, March 19, 2014

BASI LA MANING NICE LAUWA WAWILI KATIKA AJALI YA BASI NA BODA BODA

Watu wawili wamefariki dunia leo baada ya bodaboda yenye usajili namba T 293 ARM kugongwa na basi la abiria la kampuni ya Maning Nice lenye usajili namba T624 CQD ambalo nalo lilipinduka baada ya ajali hiyo katika kijiji cha Ngongo mkoani Lindi  na abiria saba walijeruhiwa.
Majina ya marehemu na ya majeruhi hayakuweza kupatikana mara moja.
Picha na Abdulaziz Video.

No comments:

Post a Comment