Advertise with us here...
Contact: 0654 264 472
Email: sabanhussein@yahoo.com
sabanhussein@yahoo.com
Pages
▼
Sunday, March 16, 2014
BASI LA TIMU YANGA LAPATA AJALAI MOROGORO....!!!
Taarifa zilizo tufikia hivi punde sasa Bus la timu ya Young Africans lililokuwa limebeba wachezaji pamoja na viongozi wa benchi la ufundi limepata ajali eneo na Mikese Mizani baada ya Mabus yaliyokua yakitanua kuelekea mikoa ya bara kuziba njia na kusababisha kutumbukia kwenye mtaro.
No comments:
Post a Comment