Pages

Wednesday, March 12, 2014

MH. SAMWELI SITA ASHINDA UENYEKITI BUNGE LA KATIBA... SAMA HAPA IDADI YA KURA ALIZOPATA DHIDI YA MPINZANI WAKE..

Hatimaye Samweli Ameukwaa Uspika wa Bunge la katiba leo hii jioni kwa kwa kupata kura nyingi ....Mie Binafsi nimefurahi nahuhakika na Mzee huyo ...Kwani aliongoza Bunge Vizuri sana Enzi zake......Unasemaje kuhusu Sitta?? Toa maoni yakom hapa chini

No comments:

Post a Comment