Pages

Saturday, May 3, 2014

Hizi Picha, Ben Pol Ndani Ya Makao Makuu Ya Gari Za Mercedez benz Ujerumani

Kwenye matembezi yake ya kusafisha macho Msanii wa Rnb akiwa Ujerumani kwenye ziara yake alipata nafasi ya kutembelea Makao Makuu ya Mercedez Benz, gari za kifahari zilizoko kwenye orodha ya gari za gharama zaidi duniani.



No comments:

Post a Comment