Pages

Tuesday, December 20, 2016

Kokoro ya Rich Mavoko na Diamond yakimbiza- UK

Wimbo mpya wa Rich Mavoko aliomshirikisha Diamond ‘Kokoro’ umezidi kukubalika nchini Uingereza.
Wimbo huo ulioachiwa mwezi uliopita umefanikiwa kushika namba mbili kwenye Top 5 ya Afro Boss Airlines ya kituo cha Radio cha BBC 1xtra inayoendeshwa na Dj Edu.

No comments:

Post a Comment