NEWS:BAADA YA KUMALIZA SHOW ZA EID,YUPO KENYA KIKAZI ZAIDI.
Baada ya Stori kadhaa tullienda kwenye mizunguko,ebhana eeeh hatua ya kwanza
tulikuwa tumewasili kwenye ofisi za Ogopa video Production,hahahahahaha
ushaelewa wewe....mtu mzima sipaswi kukujuza zaidi....
Hapa along side with My cuzini Blood Rommy Jones & Jaguar mzee wa Kigeugeu.
Baada ya Rapsha za hapa na pale jijini Nairobiiiiii
duh si unajua tena kama kawaida
yangu nikiwa Bongo ntakimbilia kwa Mama
Naseeb au kwa Beib mama
lakini hapa nilipelekwa na mwanangu Jaguar hotel
moja hvi'kugonga vitu vya kinyama
unakula menu Panya haruki yanii panajulikana kama
Java.....My Thanks To Jaguar mzee wa kipepeo
0 comments:
Post a Comment