Advertise with us here... Contact: 0654 264 472 Email: sabanhussein@yahoo.com sabanhussein@yahoo.com

Sunday, March 16, 2014

WEMA NA DIAMOND KIMENUKA,. YADAIWA KUKWARUZANA KISA VICTORIA KIMANI,..SOMA ZAIDI HAPA

Inasemekana lakini ....Habari kutoka Segment ya U-Heard ya Sudi Brown wa Clouds FM imehabarisha kuwa Wema na Diamond Jana walikwaruzana baada ya Wema kuhisi kuwa Diamond anatoka na Mwanamuziki wa Kenya Victoria kimani ..hii ilitokea Diamond na Victoria walipokuwa Studio wakifanya wimbo inasemekana Diamond hakumwaga Bi Wema , Wema aliona tu kwenye Instagram kuwa mida hiyo Diamond yupo na Victoria ndio ikabidi awafungie Safari na kuzua Timbwili la haja , Inaonekana Wema aliona Wivu baada ya kuwa na Tetesi kuwa Diamond anatoka na Mwanadada huyu kutoka Kenya...
 Inasemekana lakini ....Habari kutoka Segment ya U-Heard ya Sudi Brown wa Clouds FM imehabarisha kuwa Wema na Diamond Jana walikwaruzana baada ya Wema kuhisi kuwa Diamond anatoka na Mwanamuziki wa Kenya Victoria kimani ..hii ilitokea Diamond na Victoria walipokuwa Studio wakifanya wimbo inasemekana Diamond hakumwaga Bi Wema , Wema aliona tu kwenye Instagram kuwa mida hiyo Diamond yupo na Victoria ndio ikabidi awafungie Safari na kuzua Timbwili la haja , Inaonekana Wema aliona Wivu baada ya kuwa na Tetesi kuwa Diamond anatoka na Mwanadada huyu kutoka Kenya...

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Total Pageviews

273618

Popular Posts

Unordered List

http://michuzijr.blogspot.com/2013/03/party-kubwa-ya-pasaka-kudondoshwa.html

Flickr Images

Follow Us

Bin Hussein65 copyright 2014. Powered by Blogger.

Translate

Followers

Search This Blog