Akiongea na Enewz ya East Africa Television Jumatatu hii, Shamsa amesema baada ya kutendwa mara kadhaa alikuwa anaogopa kuweka wazi mahusiano yake.
“Nakuwaga mzito labda kwa sababu ya uwoga lakini mapenzi yakikuzidi mwisho wa siku unashindwa kujizuia, ni kweli nimetolewa mahari,” alisema Shamsa.
Pia muigizaji huyo amemwagia sifa mama yake mzazi huku akimshuru kwa malezi mazuri ambayo yamemfanya aonekane mtu mbele ya watu.
No comments:
Post a Comment