Advertise with us here... Contact: 0654 264 472 Email: sabanhussein@yahoo.com sabanhussein@yahoo.com

Friday, October 28, 2016

Alikiba akanusha kutumbuiza kwenye shindano la Miss Tanzania 2016

Alikiba amekanusha taarifa zilizoenea kuwa atatumbuiza kwenye shindano la Miss Tanzania 2016 litakalofanyika Jumamosi hii mjini Mwanza.


Taarifa hizo zilizosambaa zimedai kuwa Alikiba na Christian Bella ndio wasanii watakaotumbuiza kwenye tamasha hilo lakini Kupitia mtandao wa Instagram, hitmaker huyo wa wimbo wa ‘Aje’ ameandika, “Taarifa Muhimu : Napenda Kuwajulisha Ya Kuwa Sitakuwepo.”
Tamasha hilo litakuwa likifanyika mkoani humo kwa mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa mashindano hayo nchini.

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Total Pageviews

273554

Popular Posts

Unordered List

My Blog List

http://michuzijr.blogspot.com/2013/03/party-kubwa-ya-pasaka-kudondoshwa.html

Flickr Images

Follow Us

Bin Hussein65 copyright 2014. Powered by Blogger.

Translate

Followers

Search This Blog