Advertise with us here... Contact: 0654 264 472 Email: sabanhussein@yahoo.com sabanhussein@yahoo.com

Saturday, October 22, 2016

Lulu awataja wasanii 3 anaowakubali kwenye Bongo Fleva

Msanini wa Filamu nchini Tanzania Elizabeth Michael a.k.a Lulu, amewataja wasanii watatu anaowakubali zaidi kwenye Bongo Flavor.



Muigizaji huyo alikuwa akijibu swali la mmoja wa mashabiki wake kwenye mtandao wa Twitter, lililokuwa linauliza “wasanii gani watatu anaowakubali kwenye Bongo Fleva?”
Lulu alijibu swali hilo kwa kuandika, “Beka, Maua Sama na Alikiba.”

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Total Pageviews

273559

Popular Posts

Unordered List

http://michuzijr.blogspot.com/2013/03/party-kubwa-ya-pasaka-kudondoshwa.html

Flickr Images

Follow Us

Bin Hussein65 copyright 2014. Powered by Blogger.

Translate

Followers

Search This Blog