Wema Sepetu amuandikia ujumbe mzito Aunty Ezekiel kwenye birthday yake
Mastaa wawili wa Bongo Movie, Wema Sepetu na Aunty Ezekiel, wameonekana kutokuwa na tatizo baada ya Wema kuweka mfululizo wa picha akiwa na shoga yake huyo.
Picha na ujumbe wa Wema kwa Aunty unafungua ukurasa mpya wa urafiki wao ulioonekana kuvunjika miezi kadhaa iliyopita. Baada ya kuweka picha takriban 30 kwenye Instagram za kumpongeza kwa kuzaliwa, Wema aliandika ujumbe mrefu:
0 comments:
Post a Comment