Usiku wa kuamkia jana kwenye siku ya wafanyakazi duniani, May Mosi, Ommy Dimpoz alikuwa jijini Milan Italia ambako alipiga show ya kufa mtu. Katika show hiyo, Ommy Dimpoz alifanikiwa kupata mashabiki kibao wakiwemo wazungu wa nchini humo. Hizi ni picha za show hiyo.









No comments:
Post a Comment