Pages

Thursday, May 2, 2013

KALI YA LEO: ANGALIA NAMNA MASHABIKI WA REAL MADRID WALIVYOIDHIHAKI BARCELONA KWA KUFUNGWA JUMLA YA 7-0


                                                 Hapa wanamaanisha kwamba kinywaji cha 7up kimekuwa mdhamini mpya wa jezi za Barcelona





                         Mchezaji wa zamani wa Bayern Munich Bixente Lizarazu akiwa na jezi ya Barcelona - alisaliti chama

                                                                 TOA MAONI YAKO HAPA CHINI

No comments:

Post a Comment