Advertise with us here...
Contact: 0654 264 472
Email: sabanhussein@yahoo.com
sabanhussein@yahoo.com
Pages
▼
Friday, April 25, 2014
BAADA YA DIAMOND KUHAHA KUTAFUTA COLLABO NA BEYONCE, HIVI NDIVYO ALIVYOJIBIWA.
Hii Habari nimeisoma katika Gazeti moja Jana kuwa Diamond anahangaika kuwasiliana na Beyonce ili wafanye Wimbo Pamoja , Inasemekana Diamond alitafuta Number ya Beyonce kwa bahati nzuri akaipata na kumpigia simu na kumweleza anachotaka ila Beyonce akamkatiza na Kumuuliza huna Manager ? na Kisha kukata simu ..kwani Maswala ya Kazi Kwake lazima yapitie kwa Manager akiwa na Maana kuwa Manager wa Diamond Awasiliane na Manager wa Beyonce ndio Waanzia hapo kama kikieleweka poa , Mhh Goodluck Brother kama ni kweli na Ufuate Protocol
No comments:
Post a Comment