Advertise with us here... Contact: 0654 264 472 Email: sabanhussein@yahoo.com sabanhussein@yahoo.com

Tuesday, December 20, 2016

Mikakati ya Ulinzi na Usalama wilaya mpya ya Kigamboni

Kamanda wa mkoa wa kipolisi wa Temeke RPC G.B. Muroto amekutana na Madiwani na Wenyeviti wa Kata na mitaa ya wilaya mpya ya Kigamboni Siku ya Jumatatu 19/12/2016. Mkutano huo uliofanyika katika Ukumbi wa CCM Kigamboni kuanzia majira ya sa a nne za asubuhi mpaka sa saba za mchana, Mkutano ulikua na lengo la kujadiri na kuimarisha Ulinzo na Usalama wa Wilaya mpya ya Kigamboni na nchi nzima kwa ujumla.

Picha
 Kamanda G B. Muroto na Mstahiki Meya wa wilaya ya Kigamboni wakifurahia burudani kutoka kwa vijana wa KCC kabla ya kuanza mkutano
 Vijana wa Kigamboni Community Center(KCC) wakitoa burudani na maigizo ya kuelimisha kabla ya mkutano huo kuanza



 Mkuu wa kituo cha Polisi Kigamboni 


 Wenyeviti na Madiwani wa Kigamboni wakifuatilia kikao









Alhadji Scaba Scuba Mujumbe wa baraza la amani mkoa na kiongozi wa waislamu Kigamboni akiomba Dua kabla ya mkutano kuanza

 Mheshimiwa Mstahiki Meya wa wilaya ya Kigamboni Mh. Maabad Suleiman Hoja na Mheshimiwa Dotto Msawa Diwani wa Kata ya Kigamboni wakifuatilia na kufurahia wakati Kamanda Muroto akielezea jambo.












 Mh Dotto Msawa(Diwani akielezea Changamoto za Ulinzina usalama katika kata yake ya Kigamboni


Kamanda RPC G. B. Muroto akiwatambulisha na kuelezea kuhusu Askari kata wa Kigamboni


 Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Tuamoyo akieleze kero za mta wake



 Mstahiki Meya wa wilaya ya Kigamboni Mh. Maabad Suleiman Hoja naye alipata nafasi ya kuongea kuhusu mikakati ya Wilaya kwenye Ulinzi na Usalama.





0 comments:

Post a Comment

Total Pageviews

Popular Posts

Unordered List

http://michuzijr.blogspot.com/2013/03/party-kubwa-ya-pasaka-kudondoshwa.html

Flickr Images

Follow Us

Bin Hussein65 copyright 2014. Powered by Blogger.

Translate

Followers

Search This Blog