Pages

Thursday, March 23, 2017

BREAKING: Rais Magufuli ateua Waziri mpya wa Habari, Sanaa Utamaduni na michezo


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli amefanya mabadiliko madogo kwenye baraza la Mawaziri ambapo sehemu ya mabadiliko hayo ni kumteua Waziri mpya wa Habari, Sanaa, Utamaduni na michezo… na taarifa kamili ndio hii hapa chini kutoka IKULU.



No comments:

Post a Comment