Advertise with us here...
Contact: 0654 264 472
Email: sabanhussein@yahoo.com
sabanhussein@yahoo.com
Pages
▼
Tuesday, September 9, 2014
HUYU NDIYE NYANGUMI ALIYEVULIWA PWANI YA MTWARA
Mzoga wa samaki aina ya nyangumi ukiwa katika pwani ya Bahari ya Hindi mkoani Mtwara baada ya kuvutwa ukielea majini na wavuvi wa Kata ya Msangamkuu. Mzoga huo una urefu wa futi 48 na uzito unaokadiriwa kuwa zaidi ya tani 30.
No comments:
Post a Comment