Advertise with us here... Contact: 0654 264 472 Email: sabanhussein@yahoo.com sabanhussein@yahoo.com

Thursday, October 27, 2016

Man Utd yaichapa Man City kombe la EFL

October 26 palikuwa na michezo mbalimbali ya miachuano ya EFL Cup mchezo ambao ulikuwa ukitazamwa na wengi ni kati ya Man United na Man City mchezo ambao ulipigwa katika dimba la Old Trafford, Man United ilifanikiwa kupata ushindi dhidi ya Man City kwa goli 1-0, goli ambalo lilifungwa na Juan Mata dakika ya 54 na kuufanya mchezo umalizike kwa Jose Mourinho kulipa kisasi cha September 10 2016.
 Baada ya mechi dhidi ya Man City kumalizika, kocha Jose Mourinho amewaomba msamaha mashabiki wa Man United kwa kupigo cha 4-0 dhidi ya Chelsea.


Matokeo ya mechi zingine za EFL Cup zilizochezwa usiku wa October 26.


Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Total Pageviews

273581

Popular Posts

Unordered List

http://michuzijr.blogspot.com/2013/03/party-kubwa-ya-pasaka-kudondoshwa.html

Flickr Images

Follow Us

Bin Hussein65 copyright 2014. Powered by Blogger.

Translate

Followers

Search This Blog