Advertise with us here... Contact: 0654 264 472 Email: sabanhussein@yahoo.com sabanhussein@yahoo.com

Thursday, October 27, 2016

Nyumba ya Diamond yamtoa povu H Baba ‘unapost nyumba kwa kuwa AliKiba kapost yake’

Jumanne hii katika mitandao ya kijamii kulikuwa na majibizano kati ya mashabiki wa Diamond na AliKiba baada ya Diamond Platnumz kupost kipande cha video kikionyesha nyumba yake ya Afrika Kusini huku akizungumza maneno ambayo yameonyesha kuwakasirisha baadhi ya watu.
Mzozo huo katika mitandao ya kijamii ulikuwa zaidi baada ya H Baba ambaye pia aliwahi kutofautiana na Diamond Platinumz siku za nyuma kutoa maoni yake katika video hiyo ya Diamond huku akionyesha kutoridhishwa na kitendo alichofanya Diamond.


Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Total Pageviews

273505

Popular Posts

Unordered List

http://michuzijr.blogspot.com/2013/03/party-kubwa-ya-pasaka-kudondoshwa.html

Flickr Images

Follow Us

Bin Hussein65 copyright 2014. Powered by Blogger.

Translate

Followers

Search This Blog