Advertise with us here... Contact: 0654 264 472 Email: sabanhussein@yahoo.com sabanhussein@yahoo.com

Sunday, October 30, 2016

PICHA: Mdaharo wa vijana wa KATIBA

 Tarehe 29/10/2016 umefayika mdaharo wa masuala yanayohusu katiba, mdaharo umehusisha vijana kutoka katika taasisi mbalimbali, vyuo na binafsi. Mdaharo ulifanyika katika ukumbi wa FES Hall, Morocco-Dar es salaam.

Mdaharo huo umeandaliwa na FRIENDRICH EBERT STIFTUNG na International Republican Institute. Watoa mada wakiwa ni Bi. Judith Salvio Kapinga- Recearch, Publication and Visibility Officer Tanganyika Law Society na Bw.Deus Kapinga-Executive Dorector of the Tanzania Citizen's Information Bereau (TCIB).
 Judith Salvio Kapinga akitoa mada kuhusu haki na wajibu wa vijana katika katika pamoja na mchakato wa katiba mpya







 Washiriki wakipatiwa Katiba ya Tanzania
 Washiriki wakifuatilia mdaharo kwa umakini



 Mapema asubuhi wakati washiriki wakiwa wanawasili
 Washiriki wakibadilishana mawazo kabla ya mdaharo kuanza



 Watoa mada pamoja na mwakilishi kutoka IRI, kutoka kushoto ni Judith Kapinga, Deus Kibamba na Bi Robina Namusisi
 Dickson Kamala -Vice Chairperson Tanzania Youth with Vision

 Washiriki wakijisajiri

 Bw. Amon akielezea kuhusu FES

 Robina Namusisi- Internation Republican Institute (IRI) akielezea kuhusu IRI



Washiriki kutoka katika taasisi ya viyiwi Buguruni na mtu anayewatafsiria kwa lugha ya alama na ishara

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Total Pageviews

273553

Popular Posts

Unordered List

http://michuzijr.blogspot.com/2013/03/party-kubwa-ya-pasaka-kudondoshwa.html

Flickr Images

Follow Us

Bin Hussein65 copyright 2014. Powered by Blogger.

Translate

Followers

Search This Blog