Advertise with us here... Contact: 0654 264 472 Email: sabanhussein@yahoo.com sabanhussein@yahoo.com

Friday, October 28, 2016

Picha: TID na Bill Nas waingia studio kuandaa wimbo

Msanii mkongwe wa muziki TID pamoja na rapa Bill Nas wameingia studio kuandaa project mpya ambayo bado hawajaweka wazi ni project ya namna gani.



Miezi kadhaa iliyopita, TID alilalamika kuwa Bill ni mtu mwenye tamaa na asiye na shukrani baada ya kuondoka Radar Entertainment licha ya kumlea na kumfikisha pahali.
Kwa sasa wawili hao wapo pamoja na wanaonyesha ushirikiano katika mambo yao ya muziki.
Alhamisi hii Bill Nas alipost picha instagram akiwa na TID na kuandika:
 #inthekitchen with @tidmusic !! #NENGA #itsbeenawhile Yo! 2ko Around Mazeee
Bill Nas aliwahi kumshirikisha TID kwenye wimbo ‘Ligi Ndogo’ ambao ulifanya vizuri.

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment

Total Pageviews

273566

Popular Posts

Unordered List

http://michuzijr.blogspot.com/2013/03/party-kubwa-ya-pasaka-kudondoshwa.html

Flickr Images

Follow Us

Bin Hussein65 copyright 2014. Powered by Blogger.

Translate

Followers

Search This Blog