Snura 'Majanga' Atoa ya Moyoni Kuhusiana Na Tuhuma Za Yeye Kutengeneza Pesa Kwa Kujiuza
Snura 'Majanga', Baada
 ya kukaa na maumivu moyoni kwa muda mrefu hatimaye leo hii ameamua 
kufunguka na kusema kuwa anaumizwa sana moyo na wale wote wanaomhusisha 
ama kumtuhumu kuwa njia yake kubwa ya kujipatia pesa ni kujiuza kwa watu
 wenye pesa mjini na pia kuuza wasichana wengine.
Snura amesema kuwa kutokana na watu kumhusisha na mambo haya, kwa upande wake yeye binafsi kuna mtu ambaye aliwahi kutumia picha yake kwenda kumnadi kwa wenye pesa zao, lakini mwisho wa siku alishindwa kukamilisha mpango wa kumuuza kwasababu hakuweza kumfuata na kumueleza kuwa anahitajika kwaajili ya mpango huo.
Snura ambaye kwa sasa ni mama wa mtoto mmoja, amesema kuwa, Pesa alizonazo sasa zinatokana na yeye kuhangaika kwa njia ambazo ni halali na zinafahamika na watu na anakasirishwa sana na wale woote ambao wanamhusisha na mambo ya kujiuza.
KUTOKA KWA http://www.sammisago.com/2013/08/snura-majanga-atoa-ya-moyoni-kuhusiana.html?spref=tw
Snura amesema kuwa kutokana na watu kumhusisha na mambo haya, kwa upande wake yeye binafsi kuna mtu ambaye aliwahi kutumia picha yake kwenda kumnadi kwa wenye pesa zao, lakini mwisho wa siku alishindwa kukamilisha mpango wa kumuuza kwasababu hakuweza kumfuata na kumueleza kuwa anahitajika kwaajili ya mpango huo.
Snura ambaye kwa sasa ni mama wa mtoto mmoja, amesema kuwa, Pesa alizonazo sasa zinatokana na yeye kuhangaika kwa njia ambazo ni halali na zinafahamika na watu na anakasirishwa sana na wale woote ambao wanamhusisha na mambo ya kujiuza.
KUTOKA KWA http://www.sammisago.com/2013/08/snura-majanga-atoa-ya-moyoni-kuhusiana.html?spref=tw
 

 
 
 
 
 
 
 
 
 Tanzanian Shilling Converter
  Tanzanian Shilling Converter



 
 Posts
Posts
 
 

0 comments:
Post a Comment