Advertise with us here... Contact: 0654 264 472 Email: sabanhussein@yahoo.com sabanhussein@yahoo.com

Thursday, December 29, 2016

Tiny aomba talaka kwa mumewe rapper T.I.

Mwaka 2016 unaondoka na ndoa nyingine iliyoonekana imara kwa macho ya wengi. Ndoa ya T.I. na mkewe Tiny imefikia ukingoni.
Baada ya kudumu kwenye ndoa kwa miaka sita, Tiny, muimbaji wa zamani wa kundi la Xscape, ameomba talaka kutoka kwa mume wake mwezi huu. Kwa mujibu wa mtandao wa TMZ, uhusiano wao uliingia dosari zaidi baada ya kusambaa mtandaoni picha ya Tiny akicheza muziki na Floyd Mayweather, adui mkubwa wa T.I, kwenye party ya Halloween ya Mariah Carey.
Wawili hao walifunga ndoa mwaka 2010 na pamoja wana watoto watatu, King, Major, na wa kike Heiress Harris, aliyezaliwa March. Licha ya kuachana, E! News inadai kuwa wataendelea kuwa marafiki kwaajili ya watoto na familia yao.

0 comments:

Post a Comment

Total Pageviews

Popular Posts

Unordered List

http://michuzijr.blogspot.com/2013/03/party-kubwa-ya-pasaka-kudondoshwa.html

Flickr Images

Follow Us

Bin Hussein65 copyright 2014. Powered by Blogger.

Translate

Followers

Search This Blog