Advertise with us here... Contact: 0654 264 472 Email: sabanhussein@yahoo.com sabanhussein@yahoo.com

Sunday, February 26, 2017

Audio: Rais Magufuli ampigia simu mwanamke aliyemwagiwa uji wa moto na mumewe

Neema Mwita Wambura akizungunza Rais Magufuli na kumshukuru kwa msaada aliompatia wa kufanyiwa tena uchunguzi wa afya yake katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili
Neema Mwita Wambura (32) alimwagiwa uji wa moto ukiwa unachemka jikoni na mume wake katika kijiji cha Kyagata,Tarime mkoani Mara baada ya mume huyo kukasirika kwasababu Neema alichuma mahindi mabichi na kuyapika bila kibali cha mumewe.
Baada ya hapo majeraha yamekuwa yakimsumbua mno katika mwili wake.
Rais Dkt John Magufuli aliingiwa na huruma baada ya kumuona Neema, na alimpigia simu pamoja na kuwaagiza watu kumpatia fedha za matibabu pamoja na kumjulia hali yake.

0 comments:

Post a Comment

Total Pageviews

Popular Posts

Unordered List

http://michuzijr.blogspot.com/2013/03/party-kubwa-ya-pasaka-kudondoshwa.html

Flickr Images

Follow Us

Bin Hussein65 copyright 2014. Powered by Blogger.

Translate

Followers

Search This Blog